1 Samweli 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Taa ya Mungu+ haikuwa imezimwa, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu*+ la Yehova, mahali ambapo Sanduku la Mungu lilikuwa. 1 Mambo ya Nyakati 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+ Zaburi 28:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sikia sihi zangu ninapokulilia unisaidieNinapoinua mikono yangu kuelekea chumba cha ndani zaidi cha mahali pako patakatifu.+
3 Taa ya Mungu+ haikuwa imezimwa, na Samweli alikuwa amelala katika hekalu*+ la Yehova, mahali ambapo Sanduku la Mungu lilikuwa.
16 Basi wakaliingiza Sanduku la Mungu wa kweli na kuliweka ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo;+ nao wakatoa dhabihu za kuteketezwa na dhabihu za ushirika mbele za Mungu wa kweli.+
2 Sikia sihi zangu ninapokulilia unisaidieNinapoinua mikono yangu kuelekea chumba cha ndani zaidi cha mahali pako patakatifu.+