2 Samweli 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemwimarisha kabisa kuwa mfalme wa Israeli+ na kwamba alikuwa ameukweza ufalme wake+ kwa ajili ya watu Wake Waisraeli.+ Zaburi 89:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana wewe ni utukufu wa nguvu zao,+Na kwa kibali chako nguvu zetu zinakwezwa.*+
12 Na Daudi akajua kwamba Yehova alikuwa amemwimarisha kabisa kuwa mfalme wa Israeli+ na kwamba alikuwa ameukweza ufalme wake+ kwa ajili ya watu Wake Waisraeli.+