Mwanzo 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+ Zaburi 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini wewe, Ee Yehova, ni ngao kunizunguka,+Utukufu wangu+ na Yule anayekiinua kichwa changu.+
15 Baada ya hayo neno la Yehova likamjia Abramu katika maono, likisema: “Usiogope,+ Abramu. Mimi ni ngao yako.+ Thawabu yako itakuwa kubwa sana.”+