Zaburi 34:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Onjeni mwone kwamba Yehova ni mwema;+Mwenye furaha ni mtu anayemkimbilia. Methali 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Msiba huwafuatia watenda dhambi,+Lakini ufanisi huwathawabisha waadilifu.+ Methali 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu anayeonyesha ufahamu katika jambo atapata mafanikio,*Na mwenye furaha ni yule anayemtumaini Yehova.
20 Mtu anayeonyesha ufahamu katika jambo atapata mafanikio,*Na mwenye furaha ni yule anayemtumaini Yehova.