Malaki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mtu mwadilifu na mtu mwovu,+ kati ya yule anayemtumikia Mungu na yule asiyemtumikia.” Mathayo 13:49, 50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.* Malaika wataenda kuwatenganisha waovu kutoka kwa waadilifu. 50 Nao watawatupa waovu ndani ya tanuru la moto. Humo ndimo watalia na kusaga meno yao.
18 Nanyi mtaona tena tofauti kati ya mtu mwadilifu na mtu mwovu,+ kati ya yule anayemtumikia Mungu na yule asiyemtumikia.”
49 Hivyo ndivyo itakavyokuwa katika umalizio wa mfumo wa mambo.* Malaika wataenda kuwatenganisha waovu kutoka kwa waadilifu. 50 Nao watawatupa waovu ndani ya tanuru la moto. Humo ndimo watalia na kusaga meno yao.