Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Yehova anajua mambo wanayokabili watu wasio na lawama,*

      Na urithi wao utadumu milele.+

  • Yeremia 12:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Lakini unanijua vema, Ee Yehova,+ unaniona;

      Umeuchunguza moyo wangu na kuupata ukiwa katika muungano nawe.+

      Waweke kando kama kondoo wa kuchinjwa,

      Na uwatenge kwa ajili ya siku ya kuuawa.

  • 1 Petro 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki