Zaburi 37:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Yehova anajua mambo wanayokabili watu wasio na lawama,*Na urithi wao utadumu milele.+ Yeremia 12:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini unanijua vema, Ee Yehova,+ unaniona;Umeuchunguza moyo wangu na kuupata ukiwa katika muungano nawe.+ Waweke kando kama kondoo wa kuchinjwa,Na uwatenge kwa ajili ya siku ya kuuawa. 1 Petro 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+
3 Lakini unanijua vema, Ee Yehova,+ unaniona;Umeuchunguza moyo wangu na kuupata ukiwa katika muungano nawe.+ Waweke kando kama kondoo wa kuchinjwa,Na uwatenge kwa ajili ya siku ya kuuawa.
12 Kwa maana macho ya Yehova* yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao,+ lakini uso wa Yehova* uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”+