Yeremia 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wewe unajua, Ee Yehova,Nikumbuke na unikazie fikira. Nilipizie kisasi wanaonitesa.+ Usiache niangamie* kwa sababu wewe hukasiriki upesi. Ujue kwamba ninabeba shutuma hii kwa sababu yako.+ 2 Wakorintho 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 tunateswa, lakini hatuachwi bila msaada;+ tunaangushwa chini, lakini hatuangamizwi.+ 2 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+
15 Wewe unajua, Ee Yehova,Nikumbuke na unikazie fikira. Nilipizie kisasi wanaonitesa.+ Usiache niangamie* kwa sababu wewe hukasiriki upesi. Ujue kwamba ninabeba shutuma hii kwa sababu yako.+
9 Hivyo basi, Yehova* anajua jinsi ya kuwakomboa kutoka kwenye jaribu watu wenye ujitoaji-kimungu,*+ lakini kuwaweka akiba watu wasio waadilifu ili waangamizwe* katika siku ya hukumu,+