8 Yaondolee mbali nami mambo yasiyo ya kweli na ya uwongo.+
Usinipe umaskini wala utajiri.
Acha nile tu fungu langu la chakula,+
9 Ili nisishibe na kukukana na kusema, “Yehova ni nani?”+
Wala usiruhusu niwe maskini, niibe na kuliaibisha jina la Mungu wangu.