Zaburi 37:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kidogo alicho nacho mwadilifu ni boraKuliko wingi wa vitu walivyo navyo watu wengi waovu.+ Yeremia 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama kwale anayekusanya kile ambacho hakutaga,Ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri kwa udanganyifu.*+ Atauacha katikati ya maisha yake,Na mwishowe ataonekana hana akili.”
11 Kama kwale anayekusanya kile ambacho hakutaga,Ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri kwa udanganyifu.*+ Atauacha katikati ya maisha yake,Na mwishowe ataonekana hana akili.”