Methali 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mtu mwaminifu atapata baraka nyingi,+Lakini anayeharakisha kupata utajiri hatabaki bila hatia.+ Isaya 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+ Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+ Hawawatendei kwa haki mayatima,Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+
23 Wakuu wako ni wakaidi na wanashirikiana na wezi.+ Kila mmoja wao anapenda rushwa na kutafuta zawadi kwa bidii.+ Hawawatendei kwa haki mayatima,Na kesi ya mjane haiwafikii kamwe.+
4 Tazama! Mishahara ambayo hamjawalipa wafanyakazi waliovuna mashamba yenu, inaendelea kupaza kilio, na vilio vya kuomba msaada vya wavunaji vimefika masikioni mwa Yehova* wa majeshi.+