5 Daudi akaanza kwenda vitani, naye alifanikiwa*+ popote alipotumwa na Sauli. Basi Sauli akamweka asimamie wanajeshi vitani,+ na jambo hilo likawafurahisha watu wote na pia watumishi wa Sauli.
2 Kisha nikamweka ndugu yangu Hanani+ asimamie Yerusalemu, pamoja na Hanania mkuu wa Ngome,+ kwa maana alikuwa mwanamume mwaminifu zaidi na alimwogopa Mungu wa kweli+ kuliko watu wengine wengi.