Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema, lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbovu.+

  • Waefeso 4:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+

  • Wakolosai 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yaliyokolezwa chumvi, ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu kila mtu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki