Mathayo 12:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema, lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbovu.+ Waefeso 4:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+ Wakolosai 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yaliyokolezwa chumvi, ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu kila mtu.+
35 Mtu mwema hutoa mambo mema katika hazina yake njema, lakini mtu mwovu hutoa mambo mabaya katika hazina yake mbovu.+
29 Neno lililooza lisitoke kinywani mwenu,+ bali neno jema kwa ajili ya kujenga kulingana na uhitaji, ili liwanufaishe wale wanaolisikia.+
6 Maneno yenu na yawe yenye neema sikuzote,+ yaliyokolezwa chumvi, ili mjue jinsi mnavyopaswa kumjibu kila mtu.+