2 Samweli 16:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Huenda Yehova ataona mateso yangu,+ na Yehova atanilipa kwa wema badala ya matusi niliyotukanwa leo hii.”+ Zaburi 123:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama macho ya watumishi yanavyoutazama mkono wa bwana wao,Na macho ya kijakazi yanavyoutazama mkono wa bimkubwa wake,Ndivyo macho yetu yanavyokutazama wewe, Ee Yehova Mungu wetu+Mpaka utakapotuonyesha kibali.+
12 Huenda Yehova ataona mateso yangu,+ na Yehova atanilipa kwa wema badala ya matusi niliyotukanwa leo hii.”+
2 Kama macho ya watumishi yanavyoutazama mkono wa bwana wao,Na macho ya kijakazi yanavyoutazama mkono wa bimkubwa wake,Ndivyo macho yetu yanavyokutazama wewe, Ee Yehova Mungu wetu+Mpaka utakapotuonyesha kibali.+