Mambo ya Walawi 25:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “‘Kwa hiyo ardhi haipaswi kuuzwa kwa muda wa kudumu,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wageni na wahamiaji machoni pangu.+ 1 Mambo ya Nyakati 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji, kama walivyokuwa mababu zetu wote.+ Kwa kuwa siku zetu duniani ni kama kivuli+—hatuna tumaini.
23 “‘Kwa hiyo ardhi haipaswi kuuzwa kwa muda wa kudumu,+ kwa sababu nchi ni yangu.+ Kwa maana ninyi ni wageni na wahamiaji machoni pangu.+
15 Kwa maana sisi ni wakaaji wageni mbele zako na wahamiaji, kama walivyokuwa mababu zetu wote.+ Kwa kuwa siku zetu duniani ni kama kivuli+—hatuna tumaini.