Zaburi 26:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Unihukumu, Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu;+Nimemtumaini Yehova bila kuyumbayumba.+ Zaburi 35:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Nihukumu kulingana na uadilifu wako,+ Ee Yehova Mungu wangu;Usiruhusu wanicheke.
26 Unihukumu, Ee Yehova, kwa maana nimetembea katika utimilifu wangu;+Nimemtumaini Yehova bila kuyumbayumba.+