Kutoka 15:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Utawaleta na kuwapanda kwenye mlima wa urithi wako,+Mahali pa kudumu ulipotayarisha pawe makao yako, Ee Yehova,Mahali patakatifu, Ee Yehova, ambapo umepajenga imara kwa mikono yako. Zaburi 78:55 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 55 Aliyafukuza mataifa kutoka mbele yao;+Akawagawia urithi kwa kamba ya kupimia;+Aliyafanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+ Zaburi 80:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Uliufanya mzabibu+ uondoke Misri. Uliyafukuza mataifa na kuupanda.+ 9 Ulitayarisha nafasi kwa ajili yake,Nao ukatia mizizi na kujaa nchini.+
17 Utawaleta na kuwapanda kwenye mlima wa urithi wako,+Mahali pa kudumu ulipotayarisha pawe makao yako, Ee Yehova,Mahali patakatifu, Ee Yehova, ambapo umepajenga imara kwa mikono yako.
55 Aliyafukuza mataifa kutoka mbele yao;+Akawagawia urithi kwa kamba ya kupimia;+Aliyafanya makabila ya Israeli yakae katika makao yao.+
8 Uliufanya mzabibu+ uondoke Misri. Uliyafukuza mataifa na kuupanda.+ 9 Ulitayarisha nafasi kwa ajili yake,Nao ukatia mizizi na kujaa nchini.+