Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 63:11-13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nao wakazikumbuka siku za zamani,

      Siku za Musa mtumishi wake:

      “Yuko wapi Yule aliyewapandisha kutoka katika bahari+ pamoja na wachungaji wa kundi lake?+

      Yuko wapi Yule aliyetia ndani yake roho Yake takatifu,+

      12 Yule aliyeufanya mkono Wake mtukufu uende pamoja na mkono wa kulia wa Musa,+

      Yule aliyeyatenganisha maji mbele yao+

      Ili kujifanyia jina la milele,+

      13 Yule aliyewafanya watembee katika maji yenye mawimbi makubwa,*

      Hivi kwamba wakatembea bila kujikwaa,

      Kama farasi katika nchi iliyo wazi?*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki