Ayubu 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa nini unauficha uso wako+Na kuniona kuwa adui yako?+ Zaburi 13:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ee Yehova, utanisahau mpaka lini? Milele? Utanificha uso wako mpaka lini?+ Zaburi 88:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa nini, Ee Yehova, unanikataa?*+ Kwa nini unanificha uso wako?+