Waebrania 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu wa Mungu+ na mfano kamili wa utu wake,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake. Na baada ya kuzitakasa dhambi zetu,+ aliketi kwenye mkono wa kuume wa Ukuu huko juu.+
3 Yeye ndiye mng’ao wa utukufu wa Mungu+ na mfano kamili wa utu wake,+ naye hutegemeza vitu vyote kwa neno la nguvu zake. Na baada ya kuzitakasa dhambi zetu,+ aliketi kwenye mkono wa kuume wa Ukuu huko juu.+