14 Nao watapigana na Mwanakondoo,+ lakini kwa sababu yeye ni Bwana wa mabwana na Mfalme wa wafalme,+ Mwanakondoo atawashinda.+ Pia, wale walio pamoja naye walioitwa na waliochaguliwa na walio waaminifu watawashinda.”+
19 Nami nikamwona yule mnyama wa mwituni na wafalme wa dunia na majeshi yao wamekusanyika pamoja ili kupigana vita na yule anayeketi juu ya farasi na jeshi lake.+