22 ‘Je, hamniogopi mimi?’ asema Yehova,
‘Je, hampaswi kutetemeka mbele zangu?
Mimi ndiye niliyeweka mchanga kuwa mpaka wa bahari,
Sheria inayodumu isiyoweza kukiukwa na bahari.
Ingawa mawimbi yake yanasukasuka, hayawezi kushinda;
Ingawa yananguruma, bado hayawezi kuvuka.+