Kumbukumbu la Torati 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova Mungu wenu anatembea katika kambi yenu+ ili awakomboe na kuwatia maadui wenu mikononi mwenu, na lazima kambi yenu iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kichafu ndani yenu, naye ageuke na kuacha kutembea pamoja nanyi. Zaburi 132:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana Yehova amelichagua Sayuni;+Amelitamani liwe makao yake:+ Isaya 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”
14 Kwa maana Yehova Mungu wenu anatembea katika kambi yenu+ ili awakomboe na kuwatia maadui wenu mikononi mwenu, na lazima kambi yenu iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kichafu ndani yenu, naye ageuke na kuacha kutembea pamoja nanyi.
6 “Paza sauti na upige kelele kwa shangwe, ewe mkaaji* wa Sayuni,Kwa maana Mtakatifu wa Israeli ni mkuu katikati yako.”