Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+ Mathayo 16:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa kweli mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini apoteze uhai wake?*+ Au mtu atatoa nini ili abadilishane na uhai wake?*+
4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+
26 Kwa kweli mtu atapata faida gani akiupata ulimwengu wote lakini apoteze uhai wake?*+ Au mtu atatoa nini ili abadilishane na uhai wake?*+