Mika 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo dume,Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nitamtoa mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,Uzao wa mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu?*+
7 Je, Yehova atapendezwa na maelfu ya kondoo dume,Na makumi ya maelfu ya mito ya mafuta?+ Je, nitamtoa mwanangu mzaliwa wa kwanza kwa ajili ya uasi wangu,Uzao wa mwili wangu kwa ajili ya dhambi yangu?*+