Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Msiyatumaini maneno ya udanganyifu na kusema, ‘Hili ni* hekalu la Yehova, hekalu la Yehova, hekalu la Yehova!’+

  • Mathayo 7:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wengi wataniambia siku hiyo: ‘Bwana, Bwana,+ je, hatukutoa unabii katika jina lako, na kufukuza roho waovu katika jina lako, na kufanya matendo mengi yenye nguvu katika jina lako?’+ 23 Ndipo nitakapowaambia: ‘Sikuwajua ninyi kamwe! Ondokeni kwangu, ninyi mnaotenda uasi sheria!’+

  • Waroma 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 hata hivyo, je, wewe unayemfundisha mtu mwingine, hujifundishi mwenyewe?+ Wewe unayehubiri, “Usiibe,”+ je, wewe huiba?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki