Mathayo 23:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Waandishi na Mafarisayo wamejiketisha kwenye kiti cha Musa. 3 Kwa hiyo, fanyeni mambo yote wanayowaambia, lakini msitende kama wao, kwa maana wao husema lakini hawatendi mambo wanayosema.+
2 “Waandishi na Mafarisayo wamejiketisha kwenye kiti cha Musa. 3 Kwa hiyo, fanyeni mambo yote wanayowaambia, lakini msitende kama wao, kwa maana wao husema lakini hawatendi mambo wanayosema.+