-
Malaki 2:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kwa maana midomo ya kuhani inapaswa kulinda ujuzi, na watu wanapaswa kutafuta sheria* kutoka kinywani mwake,+ kwa sababu yeye ni mjumbe wa Yehova wa majeshi.
8 “Lakini ninyi wenyewe mmegeuka na kuiacha njia. Mmewafanya wengi wajikwae kuhusiana na sheria.*+ Mmeliharibu agano la Lawi,”+ asema Yehova wa majeshi.
-