2 Samweli 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+ Zaburi 38:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Niliungama kosa langu;+Nilihangaishwa na dhambi yangu.+
9 Kwa nini ulilidharau neno la Yehova, kwa kutenda lililo ovu machoni pake? Ulimuua Uria Mhiti kwa upanga!+ Kisha ukamchukua mke wake awe mke wako+ baada ya kumuua Uria kwa upanga wa Waamoni.+