1 Samweli 25:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi Abigaili+ akachukua haraka mikate 200, mitungi miwili mikubwa ya divai, kondoo watano waliochinjwa, sea tano* za nafaka iliyokaangwa, keki 100 za zabibu kavu, na keki 200 za tini zilizoshinikizwa, akapakia vitu hivyo vyote juu ya punda.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+ 1 Timotheo 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 bali kwa njia inayowafaa wanawake wanaokiri kwamba wanamtumikia Mungu,+ yaani, kupitia matendo mema. Waebrania 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema na kushiriki vitu vyenu pamoja na wengine,+ kwa maana Mungu hupendezwa na dhabihu kama hizo.+
18 Basi Abigaili+ akachukua haraka mikate 200, mitungi miwili mikubwa ya divai, kondoo watano waliochinjwa, sea tano* za nafaka iliyokaangwa, keki 100 za zabibu kavu, na keki 200 za tini zilizoshinikizwa, akapakia vitu hivyo vyote juu ya punda.+
10 bali kwa njia inayowafaa wanawake wanaokiri kwamba wanamtumikia Mungu,+ yaani, kupitia matendo mema.
16 Zaidi ya hayo, msisahau kutenda mema na kushiriki vitu vyenu pamoja na wengine,+ kwa maana Mungu hupendezwa na dhabihu kama hizo.+