Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 15:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Moyo wenye uelewaji hutafuta ujuzi,+

      Lakini kinywa cha wapumbavu hula* ujinga.+

  • Mathayo 13:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na mbegu iliyopandwa kwenye udongo mzuri ni wale wanaosikia neno na kulielewa, ambao kwa kweli huzaa matunda, mmoja huzaa mara 100 zaidi, mwingine 60, na mwingine 30.”+

  • Waebrania 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Lakini chakula kigumu ni cha watu wakomavu, ambao wamezoeza nguvu zao za utambuzi* kwa kuzitumia ili kutofautisha mambo yaliyo sawa na mambo yasiyo sawa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki