-
Kumbukumbu la Torati 32:45-47Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
45 Musa alipomaliza kuwaambia Waisraeli wote maneno hayo yote, 46 akawaambia hivi: “Wekeni mioyoni mwenu maonyo yote niliyowapa leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kutenda maneno yote ya Sheria hii.+ 47 Kwa maana haya si maneno matupu kwenu, bali yanamaanisha uhai wenu,+ na kwa maneno haya mnaweza kuishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo mnavuka Yordani kuimiliki.”
-