Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:45-47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Musa alipomaliza kuwaambia Waisraeli wote maneno hayo yote, 46 akawaambia hivi: “Wekeni mioyoni mwenu maonyo yote niliyowapa leo,+ ili muwaamuru wana wenu wawe waangalifu kutenda maneno yote ya Sheria hii.+ 47 Kwa maana haya si maneno matupu kwenu, bali yanamaanisha uhai wenu,+ na kwa maneno haya mnaweza kuishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo mnavuka Yordani kuimiliki.”

  • Waebrania 12:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ni kweli, hakuna nidhamu inayoonekana kwa sasa kuwa yenye shangwe, bali inaumiza;* lakini baadaye hutokeza amani na uadilifu* kwa wale ambao wamezoezwa nayo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki