Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova. Kumbukumbu la Torati 30:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Nachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi dhidi yenu leo kwamba nimeweka uzima na kifo mbele yenu, baraka na laana;+ nanyi lazima mchague uzima ili mwendelee kuishi,+ ninyi na wazao wenu,+ Waroma 10:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kuwa Musa anaandika hivi kuhusu uadilifu kupitia Sheria: “Mtu anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+
5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova.
19 Nachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi dhidi yenu leo kwamba nimeweka uzima na kifo mbele yenu, baraka na laana;+ nanyi lazima mchague uzima ili mwendelee kuishi,+ ninyi na wazao wenu,+
5 Kwa kuwa Musa anaandika hivi kuhusu uadilifu kupitia Sheria: “Mtu anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+