Zaburi 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Mwenye furaha ni mtu ambaye hatembei katika mashauri ya waovuNa hasimami katika njia ya watenda dhambi+Naye haketi katika kiti cha wenye dhihaka.+ 1 Wakorintho 15:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Msipotoshwe. Kushirikiana na watu wabaya huharibu tabia nzuri.*+
1 Mwenye furaha ni mtu ambaye hatembei katika mashauri ya waovuNa hasimami katika njia ya watenda dhambi+Naye haketi katika kiti cha wenye dhihaka.+