Methali 6:32, 33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mtu yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke hana busara;*Yule anayefanya hivyo anajiangamiza mwenyewe.+ 33 Atapata tu majeraha na kuvunjiwa heshima,+Na aibu yake haitafutiliwa mbali.+
32 Mtu yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke hana busara;*Yule anayefanya hivyo anajiangamiza mwenyewe.+ 33 Atapata tu majeraha na kuvunjiwa heshima,+Na aibu yake haitafutiliwa mbali.+