27 Je, mtu anaweza kukusanya moto kwenye kifua chake na mavazi yake yasiungue?+
28 Au je, mtu anaweza kutembea juu ya makaa yanayowaka moto na miguu yake isiungue?
29 Ndivyo ilivyo kwa mtu yeyote anayelala na mke wa jirani yake;
Hakuna yeyote anayemgusa mwanamke huyo atakayekosa kuadhibiwa.+