Methali 20:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Usipende usingizi, la sivyo utakuwa maskini.+ Fungua macho yako, nawe utashiba mkate.+ Methali 24:33, 34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Lala kidogo, sinzia kidogo,Kunja mikono kidogo ili upumzike,34 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+ Mhubiri 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mpumbavu hukunja mikono yake huku mwili wake ukiendelea kudhoofika.*+
33 Lala kidogo, sinzia kidogo,Kunja mikono kidogo ili upumzike,34 Na umaskini wako utakuja kama jambazi,Na uhitaji wako kama mwanamume mwenye silaha.+