Methali 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mikono milegevu italeta umaskini,+Lakini mikono yenye bidii huleta utajiri.+ Methali 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana mlevi na mlafi watakuwa maskini,+Na kusinzia kutamvika mtu matambara.