Methali 6:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Mtu yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke hana busara;*Yule anayefanya hivyo anajiangamiza mwenyewe.+ Methali 9:16, 17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Yeyote ambaye ni mjinga, aje hapa.” Huwaambia wale wasio na busara:*+ 17 “Maji yaliyoibwa ni matamu,Na chakula kinacholiwa sirini kinapendeza.”+
32 Mtu yeyote anayefanya uzinzi na mwanamke hana busara;*Yule anayefanya hivyo anajiangamiza mwenyewe.+
16 “Yeyote ambaye ni mjinga, aje hapa.” Huwaambia wale wasio na busara:*+ 17 “Maji yaliyoibwa ni matamu,Na chakula kinacholiwa sirini kinapendeza.”+