Wimbo wa Sulemani 3:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi,Kilicho na manukato ya manemane na ubani,Na manukato yote ya ungaunga yanayouzwa na wafanyabiashara?”+ Wimbo wa Sulemani 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nardo+ na zafarani, kane*+ na mdalasini,+Iliyo na miti ya kila aina ya ubani, manemane, na udi,+Pamoja na marashi yote yaliyo bora kabisa.+
6 “Ni nini hiki kinachokuja kutoka nyikani kama nguzo za moshi,Kilicho na manukato ya manemane na ubani,Na manukato yote ya ungaunga yanayouzwa na wafanyabiashara?”+
14 Nardo+ na zafarani, kane*+ na mdalasini,+Iliyo na miti ya kila aina ya ubani, manemane, na udi,+Pamoja na marashi yote yaliyo bora kabisa.+