20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi?* Yuko wapi anayebishania maneno katika mfumo huu wa mambo?* Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu?
17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+