Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 kwa Mungu, ambaye peke yake ndiye mwenye hekima,+ kuwe na utukufu kupitia Yesu Kristo milele. Amina.

  • 1 Wakorintho 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi?* Yuko wapi anayebishania maneno katika mfumo huu wa mambo?* Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu?

  • Yakobo 3:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini hekima inayotoka juu kwanza kabisa ni safi,+ kisha yenye kufanya amani,+ yenye usawaziko,+ tayari kutii, yenye kujaa rehema na matunda mema,+ haina ubaguzi,+ na si ya kinafiki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki