Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ni lazima mzifuate kwa uangalifu,+ kwa sababu watu watakaosikia kuhusu masharti haya yote wataona kwamba mna hekima+ na uelewaji,+ nao watasema, ‘Kwa hakika watu wa taifa hili kubwa wana hekima na uelewaji.’+

  • Zaburi 19:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+

      Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+

  • Zaburi 119:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Nipe uelewaji,

      Ili niweze kushika sheria yako

      Na kuitii kwa moyo wangu wote.

  • Zaburi 119:100
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 100 Ninatenda kwa uelewaji mwingi kuliko wanaume wazee,

      Kwa sababu ninayatii maagizo yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki