Methali 17:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeyote anayesamehe* kosa hutafuta upendo,+Lakini yule anayeendelea kuongea kuhusu jambo huwatenganisha marafiki wa karibu.+ 1 Wakorintho 13:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Upendo+ ni wenye subira*+ na fadhili.+ Upendo hauna wivu.+ Haujigambi, haujivuni,+ 1 Wakorintho 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Huhimili mambo yote,+ huamini mambo yote,+ hutumaini mambo yote,+ huvumilia mambo yote.+ 1 Petro 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Zaidi ya mambo yote, pendaneni sana,+ kwa sababu upendo hufunika dhambi nyingi.+
9 Yeyote anayesamehe* kosa hutafuta upendo,+Lakini yule anayeendelea kuongea kuhusu jambo huwatenganisha marafiki wa karibu.+