Methali 2:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Hekima inapoingia moyoni mwako+Na ujuzi kupendeza nafsi* yako,+11 Uwezo wa kufikiri utakukinga,+Na utambuzi utakulinda, Methali 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wajinga hufanyia mzaha hatia,*+Lakini wanyoofu wako tayari kufanya mapatano.* Methali 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mtu asiye na busara* hufurahia ujinga,+Lakini mtu mwenye utambuzi huenda mbele moja kwa moja.+
10 Hekima inapoingia moyoni mwako+Na ujuzi kupendeza nafsi* yako,+11 Uwezo wa kufikiri utakukinga,+Na utambuzi utakulinda, Methali 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wajinga hufanyia mzaha hatia,*+Lakini wanyoofu wako tayari kufanya mapatano.* Methali 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mtu asiye na busara* hufurahia ujinga,+Lakini mtu mwenye utambuzi huenda mbele moja kwa moja.+