Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+ Isaya 40:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena. Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;Watatembea na hawatachoka.”+
31 Lakini wale wanaomtumaini Yehova watapata nguvu tena. Watapaa juu kwa mabawa kama tai.+ Watakimbia na hawataishiwa na nguvu;Watatembea na hawatachoka.”+