7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+ 8 kwa sababu yule anayepanda kwa mwili wake atavuna uharibifu kutokana na mwili wake, lakini yule anayepanda kwa roho, atavuna uzima wa milele kutokana na roho.+