Waroma 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana kukaza akili kwenye mwili humaanisha kifo,+ lakini kukaza akili kwenye roho humaanisha uzima na amani;+ Waroma 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana ikiwa mnaishi kulingana na mwili hakika ninyi mtakufa; bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.+
6 Kwa maana kukaza akili kwenye mwili humaanisha kifo,+ lakini kukaza akili kwenye roho humaanisha uzima na amani;+
13 kwa maana ikiwa mnaishi kulingana na mwili hakika ninyi mtakufa; bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.+