1 Wakorintho 9:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 lakini ninaupigapiga* mwili wangu+ na kuuongoza kama mtumwa, ili baada ya kuwahubiria wengine, kwa njia fulani mimi mwenyewe nisikataliwe.* Wagalatia 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Isitoshe, wale walio wa Kristo Yesu wametundika mwili mtini pamoja na mawazo na tamaa zake mbaya.+ Waefeso 4:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Mlifundishwa kuvua utu wa zamani+ unaopatana na mwenendo wenu wa zamani na ambao unaharibiwa na tamaa zake za udanganyifu.+ Wakolosai 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu.
27 lakini ninaupigapiga* mwili wangu+ na kuuongoza kama mtumwa, ili baada ya kuwahubiria wengine, kwa njia fulani mimi mwenyewe nisikataliwe.*
24 Isitoshe, wale walio wa Kristo Yesu wametundika mwili mtini pamoja na mawazo na tamaa zake mbaya.+
22 Mlifundishwa kuvua utu wa zamani+ unaopatana na mwenendo wenu wa zamani na ambao unaharibiwa na tamaa zake za udanganyifu.+
5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu.