Waroma 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa maana ikiwa mnaishi kulingana na mwili hakika ninyi mtakufa; bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.+ Wakolosai 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu.
13 kwa maana ikiwa mnaishi kulingana na mwili hakika ninyi mtakufa; bali mkiyaua mazoea ya mwili+ kwa roho, mtaishi.+
5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu.