Zaburi 51:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Tazama! Unapendezwa na ukweli katika utu wa ndani;+Ufundishe utu wangu wa ndani kabisa* hekima ya kweli. Methali 15:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Dhabihu ya waovu humchukiza Yehova,+Lakini sala ya wanyoofu humfurahisha Yeye.+
6 Tazama! Unapendezwa na ukweli katika utu wa ndani;+Ufundishe utu wangu wa ndani kabisa* hekima ya kweli.