Methali 28:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anayelima ardhi yake atakuwa na chakula kingi,*Lakini anayefuatia vitu visivyo na thamani atakuwa na umaskini wa kutosha.+ Waefeso 4:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mwizi asiibe tena; badala yake afanye kazi kwa bidii, akifanya kazi njema kwa mikono yake,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu mwenye uhitaji.+
19 Anayelima ardhi yake atakuwa na chakula kingi,*Lakini anayefuatia vitu visivyo na thamani atakuwa na umaskini wa kutosha.+
28 Mwizi asiibe tena; badala yake afanye kazi kwa bidii, akifanya kazi njema kwa mikono yake,+ ili awe na kitu cha kumgawia mtu mwenye uhitaji.+